Waumini wa Dini ya Kislamu wametakiwa kujitolea kwa hali na mali kufanikisha ujenzi na maandalizi ya Ijitimai ya kimataifa.

Waumini wa Dini ya Kislamu wametakiwa kuendelea kujitolea kwa hali na mali katika kufanikisha ujenzi na maandalizi ya Ijitimai ya kimataifa inayotarajiwa kunza Ijumaa Oktoba 22  wiki hii. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameleza hayo wakati akikagua na kushiriki katika harakati za ujenzi wa Mskiti wa Ijitimai Kidoti Mkoa