Waumini wa Dini ya Kislamu wametakiwa kuendelea kujitolea kwa hali na mali katika kufanikisha ujenzi na maandalizi ya Ijitimai ya kimataifa inayotarajiwa kunza Ijumaa Oktoba 22 wiki hii. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameleza hayo wakati akikagua na kushiriki katika harakati za ujenzi wa Mskiti wa Ijitimai Kidoti Mkoa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed